info@ttcl.co.tz
+255 22 210 0100
News
August 31, 2024 14:05:55 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA SHUKRANI KWA WASHIRIKI WA KIKAO KAZI CHA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI

Shirika la Mawasiliano Tanzania -TTCL linatoa shukrani kwa washiriki wa Kikao Kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi waliotembelea banda lao la

News
August 2, 2023 12:48:23 | By Adeline Berchimance MIUNDOMBINU BORA YA MAWASILIANO KITOVU CHA UKUAJI UCHUMI KIDIGITALI

Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano la Tanzania- TTCL Bi. Zuhura Muro amesema TTCL inauwezo wa kuifanya Tanzania kuwa nchi kiongozi katika ukanda wa Afrika Mashariki na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC kutokana uwepo wa miundombinu bora ya mawasiliano yenye uwezo wa kufanikisha ukuaji wa uchumi wa kidjitali.

News
May 7, 2024 13:09:37 | By Adeline Berchimance SERIKALI ITAENDELEA KUHUISHA VIWANGO VYA MSHAHARA- DKT. MPANGO

Wafanyakazi wa Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL Corporation wameungana na Wafanyakazi wenzao duniani

News
July 8, 2024 19:44:12 | By Adeline Berchimance SABA SABA FURSA YA KUKUTANA NA WATEJA NA KUIMARISHA MAHUSIANO KIBIASHARA

Maonesho ya Saba Saba ni maonyesho ya biashara na viwanda yanayofanyika

News
August 30, 2024 10:23:40 | By Adeline Berchimance VIONGOZI WA TAASISI NA MASHIRIKA WAPEANA UZOEFU KUBORESHA UTENDAJI KAZI

Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma wameendelea na Kikao Kazi kilichowakutanisha jijini Arusha kwa lengo la kujadili masuala

News
January 16, 2024 15:36:33 | By Adeline Berchimance Miaka 60 ya Mapinduzi Zanzibar

Ukosefu wa huduma za kijamii kama maji, umeme, elimu, miundombinu pamoja na mawasiliano

News
August 9, 2023 12:14:11 | By Adeline Berchimance NAPE ATAMBUA MCHANGO WALIOSHIRIKI UZINDUZI MLIMANI KILIMANJARO.

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye (Mb) awatunuku tuzo na vyeti kwa washiriki 57 walioshiriki katika uzinduzi wa huduma ya mawasiliano Intaneti katika kilele cha Mlima Kilimanjaro Disemba 13, 2022.

News
April 10, 2025 09:55:33 | By Adeline Berchimance N-CARD YAPONGEZWA UKUSANYAJI NA UDHIBITI WA MAPATO

Imeelezwa kuwa uwepo wa matumizi ya N-CARD katika maeneo ya vivuko, stendi za mabasi na

News
March 8, 2024 14:52:58 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA MSAADA WA VIFAA VYA USAFI SOKO LA MABIBO

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limetoa vifaa vya kufányia usafi soko la Mabibo jijini Dar es Salaam kwa lengo likiwa

News
August 7, 2023 10:43:01 | By Adeline Berchimance T-PESA YAPAA KIDIJITALI, YAZINDUA AKAUNTI PEPE

Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL ya T-PESA imezindua huduma mpya ya kifedha ya Akaunti Pepe(Virtual Account) ambayo inamuwezesha mtumiaji kufanya miamala ya kifedha kwa usalama na hivyo kuongeza chachu katika kukuza matumizi ya kifedha kidijitali.

News
September 14, 2023 15:53:20 | By Adeline Berchimance TTCL YAWEZESHA INTANETI YA KASI KONGAMANO LA CONNECT 2 CONNECT (C2C) ZANZIBAR.

TTCL kama kitovu cha Mawasiliano imehakikisha huduma ya intaneti inapatikana katika kiwango cha juu katika

News
August 25, 2024 22:17:30 | By Adeline Berchimance TTCL YATOA SEMINA KWA WABUNGE WA KAMATI YA PIC

Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), Agosti 24 mwaka huu lilitoa semina maalum kwa Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya

News
November 30, 2023 15:24:48 | By Adeline Berchimance T-PESA YATOA ELIMU KWA WATEJA MAADHIMISHO WIKI YA FEDHA

T- Pesa Kampuni Tanzu ya Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL-Corporation ni miongoni mwa Mashirika na

News
August 20, 2024 15:47:50 | By Adeline Berchimance KAMATI YA BAJETI ZANZIBAR YAIPONGEZA TTCL KWA UBUNIFU NA USIMAMIZI WA MIRADI

Kamati ya Bajeti ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imelipongeza Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwa